Habari

Kuwafuata na kuwatii Ahlul-Bayt wa Mtume (as)

Hadithi ya Hazrat Fatima (SA) (7)

امّا وَاللّهِ، لَوْتَرَكُوا الْحَقَّ عَلى اهْلِهِ وَاتَّبَعُوا عِتْرَةَ نَبیّه، لَمّا اخْتَلَفَ فِى اللّهِ اثْنانِ وَ لَوَرِثَها سَلَفٌ عَنْ سَلَفٍ وَخَلْفٌ بَعْدَ خَلَفٍ حَتّى یَقُومَ قائِمُنا، التّاسِعُ مِنْ وُلْدِ الْحُسَیْنِ عَلَیْه السَّلام.

Naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu, lau wangekabidhi haki, yaani, ukhalifa na Uimamu, kwa wale wenye kuhusika na kustahili (haki hiyo); na lau wangelifuata na kuwatii Itrah na Ahlul-Bayt wa Mtume(as), basi bila shaka isingetokea hata watu wawili wakahitilafiana wao kwa wao juu ya Mwenyezi Mungu na Dini.

(Al-Imamah wat-Tabsirat: Uk.1 Bihar al-Anwar: Juzuu ya 36,uk. 352,H.224.)

Related Articles

Leave a Reply

Check Also
Close
Back to top button
×